CANOKSAN FREE ONLINE ENGLISH LANGUAGE COURSE. Muhraja's apre'ski & nocturnal English language Program course

Expand your view by visiting canoksanhilal online English classes                                                                                                 we hope to hear from you soon!!                                                                                    write to canoksan@yahoo.com or                                                                            hilalshukri@yahoo.com                                                                                 We hope you will revisit us soon

Home                 Nouns  

  (SOME OF VEGETABLE  &  SPICES' NAME)  (BAADHI YA MAJINA YA VIUNGO NA MBOGA MBOGA)

Unaweza kuclick kwenye jina la kiungo au mbogamboga ili ukione kwa picha, hii itakurahisishia kazi ili uelewe ni kiungo au mboga gani yenye jina ulilo lisoma; natumaini utaniandikia ikiwa unajua kwa Kiswahili majina ambayo sijayataja katika Kiswahili,

  Anuani yangu ni canoksan@yahoo.com au hilalshukri@yahoo.com , nategemea kupokea kutoka kwako. nakutakia masomo mema.

 

A   garlic                      kitunguu swaumu.

A  tomato                     nyanya.

An onion                       kitunguu.

Cinnamon                     mdalasini.

Averrhoa bilibi        mbilimbi.

An  okra                       bamia.

(Lady finger )

A  brinjal                     bilinganya.

An  aubergine             bilinganya.

A  coconut                   nazi.

A  ginger                     tangawizi.

Cooking oil                   mafuta ya kupikia.

A  pepper                    pilipili.

Paprika                        pilipili hoho.

Leek                            aina fulani ya kitunguu kidogo.

Greens                        mboga za majani.

Clove                           karafuu.

carrot                          karoti.

 

Cardamom                  iliki.

Caraway                      bizari nyembamba.

Capsicum                    Pilipili hoho.         

Cayenne

Curry powder              mchanganyiko wa viungo vilivyosagwa kama vile mdalasini, iliki n.k

Cabbage                     kabichi.

Salt                            chumvi.

Lettuce                      mboga ya majani ya kizungu, saladi.

Coriander                 giligilani

Black pepper            pilipili manga

Turmeric                    manjano

Citronella                  mchaichai.

cumin                         jamda, jira, kisibiti.

Mint

Mushroom                 uyoga.

Red paprika

Almond                  Kwa Kiarabu ni 'lawz' na kwa Kiswahili ni lozi.

Sultanas

Sumac                     

Sesame                              ufuta. na (Kwa kiarabu huitwa 'sasim' au 'zilzlani'

Chile                                  Tazama 'capsicum' hapo juu.

Citronella oil

Tamarind                         ukwaju.

Vanilla                             lavani.

Assafoetida                   Kwa Kiingereza huitwa sticking gum au devil dung, kwa Kiswahili ni 'mvuje'

Mace

Nutmeg oil

Pickling spice

All spice                             kwa kiarabu huitwa bahar, bar hub wa nai'm.

Fennel seeds                     mbegu za shamari.

Oregano

Onion flakes

Aniseed

Basil sweet

Celery seeds

Cinnamon feathering

Parsley

Green pepper

Thyme

Sage

Arrow root

Balsamic vinegar

Bay lavese

Capers                                      mruko, mchezo.

Carob

Cassia

Chervil

Chili pepper

Chives

Coffee                    kahawa.

Dill

Fennel                      shamari.

Safflower                 kwa kiarabu linaitwa 'usfur'

Galangale                hili hujulikana kwa Kiarabu kama "adkham"

Horse radish

Kelp

Leeks

Lemon             limau.

Lemon grass

Mustard

Poppy seeds

Rosemary

Saffron                 kwa kiarabu huitwa za'fran, vile vile kwa Kiswahili huitwa zafarani, Kiswedish ni safran na Spanish ni azafa'ni.

Salt                     Chumvi.

Savory

Sesame seeds                    mbegu za ufuta.

Shallot

Soy sauce

Tarragon

Tea                                               chai

Thyme

Wasabi

Worcestershire Sauce

Ajwain                                                   (kwa kiarabu huitwa 'buranikataya' au 'Twalib el kuubs'

Black mustard                                       hardali.

Fenugreek                                             uwatu, (na kwa lugha ya kiarabu huitwa 'hulba'

Bitter almond                                        Lozi chungu, (lawz murr)

Bear garlic                                         

Licorice                     kwa neno lingine hujulikana kwa Kiingereza kama liquored, hili huitwa kwa Kiarabu "arqsus"

                                 ambapo kwa Kiswahili huitwa "susu" na neno hili la Kiswahili limetokana  kwenye Kiarabu.

Nigella                       Kwa Kiarabu huitwa "Habbat sawda" au "habbat baraka" ambapo kwa Kiswahili ni habat soda.

Habaneros               

 

N.B  Katika kutumia kwangu baadhi ya majina ya Kiarabu ni kuwa, (i) Kiswahili kimejengwa kwa kiasi kikubwa kutokana na maneno mengi ya Lugha ya kiarabu

      (ii) Katika viungo vingi ambavyo vingine hutumika kama madawa, vimekuwa vikiuzwa na Waarabu hapa afrika

         mashariki na hata yamekuwa yakitumika majina ya viungo hivyo kwa Kiarabu,

 Kutokana na sababu hizo mbili zenye uzito hapo juu, ni njia rahisi kwa mfuatiliaji kuelewa na hata kuweza kuviona au

 pale anapoviona avitambue.

 

  Natumaini mtaniandikia ili mnieleweshe pale ambapo mnafahamu majina halisi ya viungo ambavyo sikuweza kuviandika  humu kutokana na kutojua vinaitwaje kwa Kiswahili wala kwa kiarabu.

 Kutumika maneno ya lugha mbalimbali katika kukopeshwa kwenye lugha nyingine ni kitu cha kawaida sana, hapa nitakuonyesha mfano kuwa, hata baadhi ya maneno ya Kiarabu yametumika katika Kiingereza, mfano hapo juu neno

 "tamarind"  limetokana na neno la Kiarabu ambalo kiungo hiki kinaitwa "tamr hindi " neno tamr kwa kiarabu ni tende

na Hindiy' ni ya Kihindi kwa maana hiyo neno hilo tamr hind lina maana ya tende ya Kihindi, hii ni kutokana na kuota sana kwa wingi huko India. hii ndio sababu Waarabu wameiita "tende ya kihindi" neno hili tamr hind ndio likachukuliwa kwenye Kiingreza na kuitwa "tamarind".

  Ninakutakia kila la kheri katika kuendelea kutafuta masomo zaidi humu.