SEHEMU ZA  MWILI WA BINAADAMU (Some of parts of a human being's body)

Head           kichwa.

Shoulder     bega.

Stomach      tumbo.

knee           goti.

Toe             kidole cha  mguuni

Finger         kidole cha mkono.

Ear             sikio.

Eye            jicho.

Mouth         mdomo.

Lip              sehemu ya chini au ya juu inayo funga mdomo.

Upper lip     sehemu ya juu ya mdomo inayoufunga mdomo.

Lower lip     sehemu ya chini ya mdomo inayoufunga mdomo.

Throat         Koo.

Nape           sehemu ya nyuma ya shingo (Juu ya mgongo)

Adam's apple  sehemu kwenye koo la mwanaume palipo tokeza juu na hushuka chini anapomeza kitu.

Nose                 pua.

Tooth                jino.

Tongue              ulimi.

Palate                paa la mdomo.

Eyes brows         nyusi.

Eyelashes           kope.

Beards               ndevu.

Moustache         mustachi.

Bald                   kipara.

Fore head          utosi.

Chin                  kidevu.

Palm                 kiganja cha mkono.

Ankle                 kifundo cha mguu.

Eye lid               mstari unaopita kati ya jicho na shavu.

Temple              sehemu iliyopo kati ya sikio na jicho (katika usawa wa kuelekea kwenye jicho)

Cheek                 shavu.

Nail                    kucha.

Back                   mgongo.

Buttock               makalio.(sehemu unayoikalia/uliyoikalia kama umekaa.)

Chest                 kifua.

Navel or

(belly button)       kitovu.     

Nipple                 sehemu kama kipele kwenye kifua chako juu ya sehemu iliyoinuka (kiziwa)

Thigh                 paja

Foot                   mguu.

Spleen              wengu, bandama.

Spine                uti wa mgongo.

Penis                 sehemu ya kiume.

Pancreas          kongosho, kiungo ndani ya mwili kizalishacho majimaji ya kusanisi chakula kilicholiwa.         

Forefinger         kidole cha shahada.

Thumb             kidole cha gumba.

Vagina             sehemu ya kike.

Lobe                sikio la nje (yaani antenna ya sikio unayoweza kuigusa nje), ndewe.

Sole                   nyayo.

Hand                 mkono (sehemu ya kushikia kitu) kuanzia kwenye kiwiko hadi kwenye vidole.

Wrist                 kiwiko. (viungio vya "hand" na "arm"

Arm                  sehemu ya mkono kuanzia mabegani hadi kwenye hand.

Breast               matiti.

Waist                Kiuno.

Elbow               Sehemu mikono yapo inapo kunjika kutoka kwenye mabega yako ukishika kiuno,  kiwiko; (kipepsi),

Heel                 kisigino.

Prepuce            ngozi ya mbele ya mwanaume, govi.

Skin                 ngozi.

Lung                pafu.

Jaws                taya.

Uvula               kimio.